swc_mat_text_reg/11/01.txt

1 line
399 B
Plaintext

\c 11 \v 1 Ilukuyaka tu Yesu ana Isaka kubatia banafunziba ke kumi na mbili mafundisho fulani, aka enda toka palende akafundishe na k u hubiri muma migini yabo miji minene. \v 2 Pale njo yaona wa kubatiza batu (ao mubatizaji), pale yeye eko mu buloko, akasikiya kavunu ya makazi Kristo alianza kufanya, akatma mjumbe na mwa nafunzi wake moya na kumwambiya \v 3 Weye njo ule atakuya ongleko mwingini?