swc_mat_text_reg/10/28.txt

1 line
436 B
Plaintext

\v 28 tena mu si ogopi bale bana wuwa mwili lakini a bawezi ku wuwa roho. njo mana, mu ogopi ule ana weza ku wuwa mwilina roho ndani ya jeya namu. \v 29 Mbo na ayiko ka suku mbili njo ina wujisiwa na pesa kidogo? na njo mana mu juwe, kama akuna ata mumoya ya bo mwenye ata enguka chini bila baba ku yuwa. \v 30 Na vile vile, nywele za kicha yenu ime hesabiliwa. \v 31 Njo mana mu si ogopi. Ju muko ba maana sana kuliko ma ka suku bengi.