swc_mat_text_reg/10/21.txt

1 line
416 B
Plaintext

\v 21 Ndugu ata wuwa ndugu yake na baba ku mtoto wake. Na batoto bata tombokeya bazazi juya ile kifo (ma wuwaji). \v 22 Bote bata bachukiya kwa sababu yangu. Lakini ule ata kaza nakuvu miliya mpaka mwisho ule ata ponga. \v 23 Na wakati nata batesa ku iyi mugini, mukimbiye mukimbiliye ku mugine ingine. kwa sababu na bambia ukueli, "Amuta kuwa mu me malizaka tembeya mi fi yote ya Isreali bila mtoto wa Mungu a kuye.