swc_mat_text_reg/10/16.txt

1 line
340 B
Plaintext

\v 16 muone, na ba tuma kama kondoo ndani ya mbwamwitu, mukuwe na fanya angalisho kama nyoka na wapole tena kama njiwa. \v 17 Mufanye angalisho na batu, ju bata bapeleka ju baba fung tena bata bapiga fimbo ndani ya ma sinagigi yabo. \v 18 Na bata ba peleka mbele ya wakua na ba falme kwa ajili yangu, ju ikuwe ushuhuda kwabo na kwa mataifa.