swc_mat_text_reg/10/11.txt

1 line
306 B
Plaintext

\v 11 Hata mugini ao ku ifi yenye muta ingiya, muta fute mwenye anasthili ka ba pokeya na mu bakiye kuake mupaka muta toka wa kwenda. \v 12 Wakati mu na ingiya mu nyumba, mu ba sali miye. \v 13 Na ka ma nyumba inastahili, amani yenu ibakiye kwa bo. Lakini kama ile nyumba aastahili, amani yenu ibarudiliye.