swc_mat_text_reg/10/08.txt

1 line
271 B
Plaintext

\v 8 Muponye magonjua, mu fufuwe bafu, muta kose benye magonjua ya ukoma na kufukuza ma pepo. Mulipokeya ya bure, mu ba patie na bo ya bure. \v 9 Mu si ka mate ata za habu, ata pesa wala shaba ju ya mifuku yenu. \v 10 Kwa sababu mutu mishi anastakili na kuli pwa mushara.