swc_mat_text_reg/09/35.txt

1 line
333 B
Plaintext

\v 35 Yesu aka tembeya majimbo na migini yote mbali, aliendeleya kuhubiri kwenye makanisa yote kidigo kidogo na kuponya batu ya magonjwa ya kila aina na bilema bya kila haina. \v 36 Wakati akaona bwingi ya batu, Yesu aka basikiliya uruma kwa sababu balikuwa ba kucho ka sana katika maroho yabo balikuwa kama kondolo aina muchungaji.