swc_mat_text_reg/09/29.txt

1 line
278 B
Plaintext

\v 29 Naye Yesu akagusa macho yabo aka sema, itendeke kwenu kama vile imani yenu ina omba. \v 30 Na mara moya macho yabo ikafunguka, na Yesu aka bambiya kusema, ata mutu moya asijuwe mambo iyi. \v 31 Lakini bipofu mbili aba, ba kaenda na ku tangaza habari iyi jimbo yabo muzima.