swc_mat_text_reg/09/23.txt

1 line
264 B
Plaintext

\v 23 Wa kati Yesu aka fika kunyumba ya mukubwa ya ba askari aka kuta ba imbayi na batu bamingi beko na tiya makelele. \v 24 Naye aka sema, mutoke bote inje, kwa sababu mutoto uyu mwana muke eko muzima na ana lala busingizi, batu bote baka mucheka na baka muzarau.