swc_mat_text_reg/09/20.txt

1 line
368 B
Plaintext

\v 20 20Na kuona, mwana muke moya mgonjwa ya kutoka damu nyaka kumi na mbili, aka fika nyuma Yesu na aka gusa nguwo yake. \v 21 Kwa sababu "ali ji semeya ye peke, kama nika gusa ata nguwo ya Yesu nita weza kupona". \v 22 Yesu aka geuka na aka mwa ngaliya, akisema mtoto ya ngu mwana muke, kuwa na nguvu, imani yako ina ku ponesha, na mara moya mwana muke ule aka pona.