swc_mat_text_reg/09/10.txt

1 line
311 B
Plaintext

\v 10 Wakati Yesu aka ingiya ndani ya nyumba juu ya kula chakula, batu ya ku lipisha kodi, na ba pagano ba mingi, baka anza kula na Yesu pamoya na bana funzi bake. \v 11 Wakati ba fanisa yo baka ona ivi, ba kasemana ba na funzi yake, kwa ini mwalimu wenu ana kula chakula na ba kulipisha kodi piya na ba pagano?