1 line
336 B
Plaintext
1 line
336 B
Plaintext
\v 7 Mara moya mugongwa wa kuleke ya mikuni aka sibama na kurudiya kwabe, \v 8 Wakati batu bote bakaona ivi ba kashangaa sani, na ba katuza Mungu, kwa sababu yeye njoo mwenye kupatiya batu uwezo. \v 9 Yesu akaza kupita, aka ona mutumoya jina yake kwikala ku bureau ya batu ba kupisha kodi, Yesu aka mwambiya unifwate, naye aka mufwata. |