1 line
451 B
Plaintext
1 line
451 B
Plaintext
\v 3 Angaliya ba handikayi ya mikanda bana anza kusema sema bopeke huyu mutu ana zarahu Mungu, \v 4 Yesu aka fahamu mazwazo yabo na aka sema, juu ya nini mukona mawazo mubaya ndani ya maroho yenu? \v 5 Kitu gani kiko nguvu kama na mutu Zambi yako ina urumina, ao kusema sibama na utembeye? \v 6 Lakini juu mutambuwe kama mutoto wa mutu eko na uwezo wa kuhurumi ya zambi, na akasema na mu gonjwa «simama, beba kitanda chako na urudiye kunyumba yako.» |