swc_mat_text_reg/09/01.txt

1 line
281 B
Plaintext

\c 9 \v 1 Yesu akayingiya katika mutumbu juu ya kwenda ngambo ya pili kumugi ni ali kuwa ana ikala. \v 2 Akaona bana muleteya mutu moya mgonjwa wa kulekeya mikulu wa kulala pa kitanda, akaona imani yabo aka sema na mugonjwa, mutoto yangu, kuwa na furaha, Zambi ya ko ina kurunuuwa.