swc_mat_text_reg/08/18.txt

1 line
356 B
Plaintext

\v 18 Kisha, yesu alipoona watu wengi wenye kumunguluka, apana oda ya kuvuka ngambo ya pili ya bahari ya Galileya. \v 19 Kisha mandikaji akakuya kwa Yesu na akambia, mwalimo, tutaenda pamoja nawewe fasi yote utaenda. \v 20 Yesu akamwambia mbwa mwitu ako na mashimo, na ndeke wa anga wanayo chicha, lakini mtoto wa mwana damu hana fasi ya kutia kichwa yake.