swc_mat_text_reg/08/16.txt

1 line
210 B
Plaintext

\v 16 Ilipo fika saa za magaribi, watu wakuya na wagonjwa wa pepo mchufu; Akawatosa pepo na wagonjwa wengi aliwaponyesha. \v 17 Kwa haya, ikatimia ile nabi Isaya amekwisha sema: Yeye peke alibeba magonjwa yetu.