swc_mat_text_reg/07/18.txt

1 line
270 B
Plaintext

\v 18 Muti muzuri hauwezi kuzaa matunda mabaya walamuti mubaya hauwezi kuzaa matunda muzuri. \v 19 Kila muti ambao haikuzaa matunda mabiya wala muti mubaya hauwezi kuzaa matunda muzuri itakatiwa na kutupa katika moto. \v 20 Hivyo basi utawatambua kutokana na matanda yao