swc_mat_text_reg/07/13.txt

1 line
225 B
Plaintext

\v 13 Ingieni kwa mulango ya muembamba, juu ile ya munene, ni njia ina yoongoza kwenye uharibifu, na ikona watu wengi wanapita njia hiyo. \v 14 Mulangu muembaka, ni njia inayongooza katika uzima na ni wachache wanaweza koiona