swc_mat_text_reg/07/07.txt

1 line
328 B
Plaintext

\v 7 Omba, nawe utapewa , tafuta, nawe atapata. Piga hodi na weye batakufungulia. \v 8 kwa yote anaomba atapokea. Na kwa yote anatafuta atapata. Na kwa mutu anapiga hodi, atafunguliwa. \v 9 Iko mutu miongni wenu akiwa na na mtoto wake aki mwomba kipande ya mkate atamupa lijiwe. \v 10 Au akimwomba samaki , na ye atamupa nyoka ?