swc_mat_text_reg/06/22.txt

1 line
472 B
Plaintext

\v 22 Macho ni taa ya mwili. Kama macho yako yakiwa mazima, mwili wako wote utabaki katika mwangaza. \v 23 Lakini kama macho yako yanaharibika, mwili wako wote utabaki katika giza. Basi ikiwa mwangaza unaokuwa ndani yako umegeuka kuwa giza, giza hilo ni nzito sana! \v 24 Hakuna mtu anayeweza kuwatumikia wabwana wawili. Kwa maana atamuchukia mmoja na kumupenda mwingine; au atashikamana na mmoja na kumuzarau mwingine. Hamuwezi kutumikia Mungu na kutumikia mali vilevile.