swc_mat_text_reg/06/16.txt

1 line
483 B
Plaintext

\v 16 Munapofunga kula chakula, musifanye kama wanafiki, wanaojigeuza kuwa wenye sikitiko na kukunja nyuso zao, kusudi watu waone kwamba wanafunga. Kweli ninawaambia: wamekwisha kupata faida yao. \v 17 Lakini wewe unapofunga kula chakula, unawe uso wako na kuchanua nywele zako, \v 18 kusudi usijionyeshe kwa watu kwamba unafunga. Jambo hilo litajulikana tu kwa Baba yako anayekuwa kwa siri. Naye Baba yako anayeona tendo unalofanya kwa siri, atakulipa. Akiba ya dunia na ya mbinguni