swc_mat_text_reg/06/14.txt

1 line
250 B
Plaintext

\v 14 Hivi, mukiwasamehe watu wengine makosa wanayowatendea, Baba yenu anayekuwa mbinguni atawasamehe vilevile. \v 15 Lakini kama musipowasamehe wengine wanaowakosea, Baba yenu hatawasamehe makosa yenu vilevile. Mafundisho juu ya kufunga kula chakula