swc_mat_text_reg/05/21.txt

1 line
356 B
Plaintext

\v 21 Mulisikia balisema wakati mingi zamani: "hauta ua" na "ule mutu myenye ata na mwangine ata sambishiwa". \v 22 Lakini miye nabambiya kama ule mutu mwenye ata kwana bisilani kwa ndungu wake ata sambishiwa; na mwenye atambiya ndugu yake" weye uko wa bure" ata kuwa mbele ya benye bana sambishaka na ule mwenye ata sema: weye toka", atakwa na kifoya moto