swc_mat_text_reg/05/19.txt

1 line
255 B
Plaintext

\v 19 Na njo mona mwenye ata vunja sheriya kidogo na kufundisha bengine kufanya ayo ata kwa wa kidogo ku mfalme wa mbinguni. \v 20 Na bambia , haki yenu isipiti haki ya banye bananolikaka na wa pharisao ju ya bile biote amuta ingiya ku mfalme wa mbinguni.