swc_mat_text_reg/05/11.txt

1 line
227 B
Plaintext

\v 11 Furaha kwenu batu benye mukoma tukaniwa ma ku ba tesa ao kubasemeya bubaya dju yangu. \v 12 Mufurahi na mukwe na Furaha , dju malipo yeno iko ya Mungu ku mbinguni. Kwa kuwa batu balitesa ba nabi benye balikuya mbele yenu.