swc_mat_text_reg/04/18.txt

1 line
379 B
Plaintext

\v 18 Vile alikuwa anatembeya pembeni pembeni ya bathari ya Galilaya, ali ona wa ndugu mbili, Simoni ule bali ita Petro na Andrea ndugu yake. Balikuwa natupa makiya yabo ndani ya bahari, sababu balikuwa na loba samaki. \v 19 Na Yesu aka bambiya, «mukuye, na munifuate na munifuate na nita bananya wa kuloba sasa batu». \v 20 Kwa araka (mbiyo) bali acha makiya bo na kumu fuata.