swc_mat_text_reg/03/10.txt

1 line
520 B
Plaintext

\v 10 Na shoka bana isha kusimamisha yulu ya mujiji ya miti hivi sasa, kila muti yenye haizale matunda muzuri ni kuikata naku itupa ku moto. \v 11 Miye namibatiza mu mai bale bana geuza mifano. Kuko ule ekona kuya kisha miye, eko na uwezo kuni ipita miye, na miye sienee ata kumu bebea mapapa yake. Ye ule atamibatiza mu Roho mutakatifu na mu moto. \v 12 Eko na saani ya pepulia ku mikono, mwenye kujitayarisha afwakiyeee muzuri fwashi yake. Lakini ata lunguza makanda yote katika moto ile haita anza kuzimika ata kiloko