swc_mat_text_reg/03/07.txt

1 line
438 B
Plaintext

\v 7 Wakati aliona bafalisayo naba sadukaiba mingi beko nakuya juu ababatize, aka mambiya: mwenye ba ku kizazi ya nyoka wa sumu, ni nina anemikalamu sha juu mukimbiye kishilani Mungu? \v 8 Mwende mbele mukazale matunda ya kueneanana kugeu za mifano. \v 9 Na haina vile muko munasema ndani ya ma roho yenu aseme: "tu banankana ya Abalahamu mujuwe aseme Mungu eko na uwezo ya kulamusha kizazi kya Abalahamu ata kutoka ku hii maibwe munaona.