swc_mat_text_reg/03/01.txt

1 line
384 B
Plaintext

\c 3 \v 1 Kwa ile masiku, kukatokea yoano wakubatiza batu. Akanza kuhubiri katika jangwa ya jumbo ya Judea ekonasema. \v 2 «Geuzeni ma mifano yenu, juu ufalme wa mbingu inakuya karibu». \v 3 Muone ule nabii Isaya alisemeyaka aseme: «sauti ya mutu ule eko na lalamika katika ya jangwa na kusema: " tengenezeni njia ile bwana atapiti yamo, munyyoloshe na tuma njia twa pori twake"».