swc_mat_text_reg/02/17.txt

1 line
222 B
Plaintext

\v 17 Halafu yakatimia maneno haya yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia: \v 18 «Sauti inasikilika toka Rama, kilio na malalamiko mengi. Ni Rakeli anayewalilia watoto wake, naye hataki kufarijiwa, kwa maana hawako tena.»