swc_mat_text_reg/02/11.txt

1 line
337 B
Plaintext

\v 11 Wakaingia ndani ya nyumba, wakamwona mtoto pamoja na mama yake, Maria. Wakapiga magoti na kumwabudu mtoto. Kisha wakafungua mizigo yao na kumutolea zawadi ya zahabu, ubani na marasi. \v 12 Nyuma ya maneno haya, Mungu akawaonya katika ndoto kwamba wasirudie tena kwa Herode, kisha wakarudia katika inchi yao wakipitia njia nyingine.