|
\v 7 Basi Herode akawaita kwa siri wale wenye elimu kusudi wamujulishe hakika wakati gani nyota ile ilipotokea. \v 8 Kisha akawatuma Betelehemu, akiwaambia: «Mwende mupeleleze habari kamili za mtoto yule. Nanyi mutakapomwona munijulishe kusudi mimi vilevile niende kumwabudu.» |