swc_mat_text_reg/02/04.txt

1 line
368 B
Plaintext

\v 4 Akawakusanya wakubwa wote wa makuhani na walimu wa Sheria kwa kuwauliza wapi Kristo atakapozaliwa. \v 5 Nao wakamujibu: Betelehemu katika Yudea, kwa maana ilisemwa hivi kwa njia ya nabii: \v 6 «Ewe Betelehemu, katika inchi ya Yuda, wewe si mudogo kabisa kati ya miji mikubwa ya Yuda, maana ndani yako atatoka mutawala, atakayechunga watu wangu, ndio Waisraeli.»