swc_mat_text_reg/01/20.txt

1 line
300 B
Plaintext

\v 20 Na wakati arianza kuwaza mambo hiyi na mlaika ya bwana arifika kwake mu ndoto na kumwambiya "Yusufu mototo wa Daudi, usiongo pe naukamate bibi yako Maria, arishakupata mimba kupitia roho mutakatifu. \v 21 Na atazala mutoto mwana ume jina yake ni Yesu ata kuya kuokola bantu kotoka ku Zambi yao.