Sat May 30 2020 16:23:29 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest)

This commit is contained in:
tsDesktop 2020-05-30 16:23:31 +01:00
parent efe49d3365
commit 4ac74ed459
4 changed files with 5 additions and 1 deletions

View File

@ -1 +1 @@
Mara moya mugongwa wa kuleke ya mikuni aka sibama na kurudiya kwabe,8Wakati batu bote bakaona ivi ba kashangaa sani, na ba katuza Mungu, kwa sababu yeye njoo mwenye kupatiya batu uwezo. 9Yesu akaza kupita, aka ona mutumoya jina yake kwikala ku bureau ya batu ba kupisha kodi, Yesu aka mwambiya unifwate, naye aka mufwata.
\v 7 Mara moya mugongwa wa kuleke ya mikuni aka sibama na kurudiya kwabe, \v 8 Wakati batu bote bakaona ivi ba kashangaa sani, na ba katuza Mungu, kwa sababu yeye njoo mwenye kupatiya batu uwezo. \v 9 Yesu akaza kupita, aka ona mutumoya jina yake kwikala ku bureau ya batu ba kupisha kodi, Yesu aka mwambiya unifwate, naye aka mufwata.

1
09/10.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 10 Wakati Yesu aka ingiya ndani ya nyumba juu ya kula chakula, batu ya ku lipisha kodi, na ba pagano ba mingi, baka anza kula na Yesu pamoya na bana funzi bake. \v 11 Wakati ba fanisa yo baka ona ivi, ba kasemana ba na funzi yake, kwa ini mwalimu wenu ana kula chakula na ba kulipisha kodi piya na ba pagano?

1
09/12.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
12Wa kati Yesu aka sikiya,,aka szma, batu benye kwabila magonjwa bata weza kutafuta munganga? mupaka mtu ule eko mungijwa njoo ata tafuta munganga. 13Mufanye nguvu muka jifunze maana ya mambo iyi, nina penda zaidi kurumiya kupita sadaka si kuya kutubu, la kini bapagago ba tubu zambi yabo. 14Bana funzi ba Yohana baka muliza, juu ya nini siyeena ba farisaya tuna funga chakula la kini bana funzi bako haba funge? 15Yesu aka bakibu batu kwalikwa ku feti ya ndowa bata weza weza ku katala kula chakula na wakati bwqana mwenye ndowa ana toka kati yabo ngo nabo bata funga chakula

View File

@ -109,6 +109,8 @@
"09-title",
"09-01",
"09-03",
"09-07",
"09-10",
"10-title",
"10-01",
"10-02",