Sat May 30 2020 16:27:31 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest)

This commit is contained in:
tsDesktop 2020-05-30 16:27:32 +01:00
parent a1e1c1c8ce
commit 3e926fd850
5 changed files with 7 additions and 0 deletions

1
09/16.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 16 Hakuna mutu ata weza kubeba kilaka kipya ala mike ku nguwo ya zamani, kilaka kipya kita pasula tena ngo ya zamani nguvu sana,

1
09/17.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 17 Hakuna mutu ana weza kuka mata pombe ya mupya na ku weka ayo mukibuyu kya zamani lakini ba ta weka pombe mupya mu kibuyu ya mupya, na pale pombe na kibuyu ita kuwa muzuri.

1
09/18.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 18 18Wakati Yesu alikuwa aka sema nabo mambo iyi, mukubwa mayo waba askari aka fika na aka piga magoti mbele ya Yesu, aka sema, mtoto yangu mwana muke ana kufa sasa ivi, na kuomba ukuye umu wekeye mikono yako yulu yake naye ata pona. \v 19 Na Yesu aka sibama na akamu fwata na bana funzi bake,

1
09/20.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
20Na kuona, mwana muke moya mgonjwa ya kutoka damu nyaka kumi na mbili, aka fika nyuma Yesu na aka gusa nguwo yake. 21Kwa sababu "ali ji semeya ye peke, kama nika gusa ata nguwo ya Yesu nita weza kupona". 22Yesu aka geuka na aka mwa ngaliya, akisema mtoto ya ngu mwana muke, kuwa na nguvu, imani yako ina ku ponesha, na mara moya mwana muke ule aka pona. 23Wa kati Yesu aka fika kunyumba ya mukubwa ya ba askari aka kuta ba imbayi na batu bamingi beko na tiya makelele. 24Naye aka sema, mutoke bote inje, kwa sababu mutoto uyu mwana muke eko muzima na ana lala busingizi, batu bote baka mucheka na baka muzarau.

View File

@ -113,6 +113,9 @@
"09-10",
"09-12",
"09-14",
"09-16",
"09-17",
"09-18",
"10-title",
"10-01",
"10-02",