Sun Oct 11 2020 18:39:20 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest)

This commit is contained in:
tsDesktop 2020-10-11 18:39:21 +01:00
parent 56d097e7f6
commit 2b91fa3818
3 changed files with 4 additions and 0 deletions

1
15/01.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\c 15 \v 1 Wafarisayo na walimu wa Sheria wakamufikia Yesu kutoka Yerusalema. Basi wakamwuliza: \v 2 «Kwa sababu gani wanafunzi wako wanavunja desturi za babu zetu kwa kula chakula pasipo kunawa mikono? \v 3 Yesu akawajibu: “Na ninyi, kwa sababu gani munavunja amri ya Mungu kwa kufuata desturi zenu?

1
15/04.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 4 Kwa maana Mungu alisema: Uwaheshimu baba yako na mama yako.” Naye alisema vilevile: “Anayelaani baba yake au mama yake anapaswa kuuawa.” \v 5 Lakini ninyi munasema kwamba mtu akiwa na kitu ambacho angeweza kuwasaidia baba yake au mama yake, lakini akimwambia kwamba amekitoa sadaka kwa Mungu, \v 6 basi, hapaswi tena kumusaidia baba yake. Hivi munazarau Neno la Mungu kwa kufuata desturi zenu

View File

@ -254,6 +254,8 @@
"14-31",
"14-34",
"15-title",
"15-01",
"15-04",
"16-title",
"16-01",
"16-03",