Sat May 30 2020 20:52:40 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest)

This commit is contained in:
tsDesktop 2020-05-30 20:52:41 +01:00
parent f4b62dad61
commit 12263e5ce4
4 changed files with 5 additions and 1 deletions

View File

@ -1 +1 @@
\v 43 Mujiwe kama, mwenye nyumba engejua saa gani enye mwizi atakuya angekesha hangaesha mwizi uingie ku nyumba. \v 44Njo maana mukuwe tayari ju mutoto atakuya mu saa habawaze.
\v 43 Mujiwe kama, mwenye nyumba engejua saa gani enye mwizi atakuya angekesha hangaesha mwizi uingie ku nyumba. \v 44 Njo maana mukuwe tayari ju mutoto atakuya mu saa habawaze.

1
24/45.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 45 Ni nani mutushi mwaminifu, na mutumwa wa akili, mwenye bwana wake anamupa mabaraka ku batu benye biko ku nyumba yake, ju abapatie chakula kwa wakati enye inastaili? \v 46 Huyu mutumishi anabarikiwa, mwenye bwana wake ata mukuta anafuanya hivyo wakati atafika. \v 47 Ni kweli nabambia kamabwana atamutia mamadaraka yulu ya bitu yake yote.

1
24/48.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
48Lakini kama mutumishi mubaya anasema mu roho yake: «Bwana wangu haifika sasa hivi», 49na anaanza kupika bale batumishi bengine, kukula na kukunywa na walevi.50Mfalme wa ule mutumishi ata siku enye mutumishi hakuwaza, na kuwakati anye hajui. 51Mfalme yake ata atamukata bipande mbili na kumu weka ndani, fasi moja na banafiki, benye bata kuwa nakulia na kusaga meno.

View File

@ -345,6 +345,8 @@
"24-36",
"24-37",
"24-40",
"24-43",
"24-45",
"26-title",
"26-01",
"26-03",