Sun Oct 11 2020 19:25:20 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest)

This commit is contained in:
tsDesktop 2020-10-11 19:25:21 +01:00
parent 21a794000f
commit 063656e25d
3 changed files with 3 additions and 2 deletions

View File

@ -1,2 +1 @@
\v 7 \v 8 \v 9 Halafu wale wabinti kumi wakaamuka, 10 Wale wajinga walipokwenda kununua mafuta, bwana-arusi akafika. Wale wenzao watano waliokuwa tayari wakaingia pamoja naye katika karamu ya ndoa. Kisha mulango ukafungwa.
11 Nyuma, hao mabikira wengine wakafika, na kuanza kusema: «Bwana, bwana, utufungulie! 12 Lakini bwana akajibu: “Kweli ninawaambia: mimi siwajui ninyi.” 13 Na Yesu akaongeza kusema: “Basi mukeshe, kwa sababu hamujui siku wala saa ile.”»
\v 7 Halafu wale wabinti kwakatengeneza taa zao. \v 8 Wale wajinga wakawaambia wenye akili: “Mutusaidie na mafuta kidogo, kwa sababu taa zetu zinaanza kuzimika.” \v 9 Lakini wale wenye akili wakajibu: “Haiwezekani, mafuta tunayokuwa navyo hayatutoshelei. Afazali muende kwa wachuuzi na kujinunulia yenu.”» umi wakaamuka,

1
25/10.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 10 Wale wajinga walipokwenda kununua mafuta, bwana-arusi akafika. Wale wenzao watano waliokuwa tayari wakaingia pamoja naye katika karamu ya ndoa. Kisha mulango ukafungwa. \v 11 Nyuma, hao mabikira wengine wakafika, na kuanza kusema: «Bwana, bwana, utufungulie! \v 12 Lakini bwana akajibu: “Kweli ninawaambia: mimi siwajui ninyi.” \v 13 Na Yesu akaongeza kusema: “Basi mukeshe, kwa sababu hamujui siku wala saa ile.”»

View File

@ -416,6 +416,7 @@
"25-title",
"25-01",
"25-05",
"25-07",
"26-title",
"26-01",
"26-03",