swc_mat_text_reg/27/32.txt

1 line
335 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 32 Baka toka naye inje, pale bakakutana na Simoni mutu wa mu kulene (Libia), wakamubamba ku nguvu ende nabo amubebeye Yesu musalaba. \v 33 33Baka fika pafasi bana ita Goligota, maana yake "fasi pa mifupa ya kichwa". \v 34 34Baka penda ba munwishe pombe ya kuchanga na mai ya buchacho. Akapita tu ku milomo, na aka katala ku bikunwa.