forked from WA-Catalog/sw_tn
Add 'jhn/05/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
99a08b1f27
commit
a0c3ef66d2
|
@ -0,0 +1,27 @@
|
|||
# Yohana 05 Maelezo ya Jumla
|
||||
|
||||
### Dhana maalum katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Baraza
|
||||
|
||||
Wayahudi wengi waliamini kwamba baraza hizi zilikuwa na uwezo wa kuponya. Hii ilifanyika wakati maji "yalichochewa." (See: rc://en/ta/man/translate/figs-explicit)
|
||||
|
||||
#### "Ufufuo wa hukumu"
|
||||
|
||||
Haya ni marejeo ya wakati baada ya kifo ambapo watu wote watahukumiwa. (See: rc://en/tw/dict/bible/other/death]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/judge)
|
||||
|
||||
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Mwana, Mwana wa Mungu
|
||||
|
||||
Yesu anajiita mwenyewe kama "Mwana," "Mwana wa Binadamu" na "Mwana wa Mungu." Lugha zingine haziwezi kuruhusu mtu kujielezea katika 'mtu wa tatu.' (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/sonofman]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/sonofgod)
|
||||
|
||||
#### "Ameshuhudia juu yangu"
|
||||
|
||||
Yesu anazungumza juu ya Agano la Kale kushuhudia kumhusu yeye. Agano la Kale linatoa unabii mwingi kuhusu Masihi ambayo yalielezea kuhusu Yesu kabla ya kuja kwake duniani. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/prophet]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/christ)
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
|
||||
* __[John 05:01 Notes](./01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../04/intro.md) | [>>](../06/intro.md)__
|
Loading…
Reference in New Issue