forked from WA-Catalog/sw_tn
Add 'rom/14/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
850436ba21
commit
8bfde46471
|
@ -0,0 +1,25 @@
|
|||
# Warumi 14 Maelezo ya Jumla
|
||||
|
||||
### Muundo na upangiliaji
|
||||
|
||||
Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi upande wa kulia zaidi kuliko maandiko yote ili iwe rahisi kusoma. ULB inafanya hivi kwa mstari wa 11 wa sura hii, ambayo Paulo ananukuu kutoka Agano la Kale.
|
||||
|
||||
### Dhana maalum katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Dhaifu katika imani
|
||||
|
||||
Paulo anafundisha kwamba Wakristo wanaweza kuwa na imani ya kweli na wakati huo huo kuwa "dhaifu katika imani" katika hali fulani. Hii inaelezea Wakristo ambao imani yao ni changa, haina nguvu, au haijaeleweka.(See: rc://en/tw/dict/bible/kt/faith)
|
||||
|
||||
#### Vikwazo vya chakula
|
||||
|
||||
Dini nyingi katika inchi ya kale ya Mashiriki ya Karibu zilizuia kile kilicholiwa. Wakristo wana uhuru wa kula kile wanachotaka. Lakini wanahitaji kutumia uhuru huu kwa hekima, kwa namna ambayo huheshimu Bwana na haisababishi wengine kutenda dhambi. ((See: rc://en/tw/dict/bible/kt/sin)
|
||||
|
||||
#### Kiti cha hukumu cha Mungu
|
||||
|
||||
Kiti cha hukumu cha Mungu au Kristo kinamaanisha wakati ambapo watu wote, ikiwa ni pamoja na Wakristo, watahukumiwa kwa jinsi walivyoishi maisha yao.
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
|
||||
* __[Romans 14:01 Notes](./01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../13/intro.md) | [>>](../15/intro.md)__
|
Loading…
Reference in New Issue