forked from WA-Catalog/sw_tn
Add 'heb/11/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
9ca98f3875
commit
540f0c2c5a
|
@ -0,0 +1,17 @@
|
|||
# Waebrania 11 Maelezo kwa jumla
|
||||
|
||||
### Muundo
|
||||
|
||||
Mwandishi anaanza sura hii kwa kuelezea nini maana ya imani. Baadaye anapeana mifano mingi ya watu waliokuwa na imani na jinsi walivyoishi.
|
||||
|
||||
### Dhana muhimu katika sura hii.
|
||||
|
||||
#### Imani
|
||||
|
||||
Katika maagano yote mapya na ya zamani, Mungu alihitaji imani. Watu wengine wa imani walifanya miujiza na walikuwa wenye nguvu sana. Watu wengine wa imani waliteseka sana.
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
|
||||
* __[Hebrews 11:01 Notes](./01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../10/intro.md) | [>>](../12/intro.md)__
|
Loading…
Reference in New Issue