diff --git a/1th/05/Intro.md b/1th/05/Intro.md new file mode 100644 index 00000000..dad8c9f5 --- /dev/null +++ b/1th/05/Intro.md @@ -0,0 +1,21 @@ +# 1 Wathesalonike 05 Maelezo kwa ujumla + +### Muundo na Mpangilio + +Paulo anamalizia barua yake kama barua za kawaida nyakati za kale kule Mashariki Ya Karibu. + +### Dhana Muhimu katika sura hii + +#### Siku ya bwana + +Wakati kamili wa ujio wa siku ya Bwana itakuwa ni kwa ghafla pasipotarajiwa. Hii ndiyo maana ya "kama mwizi usiku". Kwa sababu hii, Wakristo waishi wakijiandaaa kurudi kwa Bwana. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/dayofthelord and rc://en/ta/man/translate/figs-simile) + +#### "Kukata kiu ya Kiroho" + +Hii ina maana ya kutojali ama kufanya kinyume na mwongozo na kazi ya Roho Mtakatifu. + +## Links: + +* __[1 Thessalonians 05:01 Notes](./01.md)__ + +__[<<](../04/intro.md) | __ \ No newline at end of file