From 0d9e81f7cd58fbb95cb04566c6863bcbf9746100 Mon Sep 17 00:00:00 2001 From: Rick Date: Wed, 19 May 2021 22:32:53 +0000 Subject: [PATCH] Add '2co/13/Intro.md' --- 2co/13/Intro.md | 27 +++++++++++++++++++++++++++ 1 file changed, 27 insertions(+) create mode 100644 2co/13/Intro.md diff --git a/2co/13/Intro.md b/2co/13/Intro.md new file mode 100644 index 0000000..d0a5aba --- /dev/null +++ b/2co/13/Intro.md @@ -0,0 +1,27 @@ +# 2 Wakorintho 13 Maelezo ya Jumla + +### Muundo na upangiliaji + +Katika sura hii, Paulo anamaliza kutetea mamlaka yake. Kisha anahitimisha barua hii kwa salamu ya mwisho na baraka. + +### Dhana maalum katika sura hii + +#### Maandalizi + +Paulo anawaeleza Wakorintho anapojitayarisha kuwatembelea. Anatumaini kuepuka tatizo ya kumwadhibu yeyote kanisani ili aweze kuwatembelea kwa furaha. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/disciple) + +### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii + +#### Nguvu na udhaifu + +Paulo kila mara anatumia maneno tofauti "nguvu" na "udhaifu" katika sura hii. Mtafsiri anapaswa kutumia maneno mawili ya tofauti kabisa. + +#### "Jichunguzeni na muone kama mko katika imani. Mjijaribu wenyewe." + +Wasomi wamegawanyika juu ya maana ya maneno haya. Wasomi wengine wanasema kwamba Wakristo wanapaswa kujijaribu wenyewe ili kuona kama matendo yao yanahusiana na imani yao ya Kikristo. Wasomi wamegawanyika juu ya maana ya maneno haya. Wasomi wengine wanasema kwamba Wakristo wanapaswa kujijaribu wenyewe ili kuona kama matendo yao yanahusiana na imani yao ya Kikristo. Muktadha unapendeza ufahamu huu. Wengine wanasema maneno haya yanamaanisha kuwa Wakristo wanapaswa kuangalia matendo yao na kuuliza kama wameokolewa kwa kweli. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/faith]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/save). Wengine wanasema maneno haya yanamaanisha kuwa Wakristo wanapaswa kuangalia matendo yao na kuuliza kama wameokolewa kwa kweli. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/faith]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/save) + +## Links: + +* __[2 Corinthians 13:01 Notes](./01.md)__ + +__[<<](../12/intro.md) | __ \ No newline at end of file