forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
376 B
Markdown
17 lines
376 B
Markdown
|
# miti yenye vivuli
|
||
|
|
||
|
angalia jinsi ulivyotafsiri hii katika 40:19
|
||
|
|
||
|
# kingo
|
||
|
|
||
|
pande za mto
|
||
|
|
||
|
# hata kama Mto wa Yordani unajaa hadi katika pua yake
|
||
|
|
||
|
"hata kama gharika litakuja juu ya pua yake"
|
||
|
|
||
|
# Je mtu yeyote aweza kumnasa kwa ndoano... kwa mtego?
|
||
|
|
||
|
Hili ni swali hili la kejeli hupaswa kujibiwa kwa jibu la kukanusha. "Hakuna yeyote awezaye kumkamata kwa ndoano au kwa mtego"
|
||
|
|