forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
501 B
Markdown
29 lines
501 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu
|
||
|
|
||
|
# aletaye mawindo
|
||
|
|
||
|
Yahwe anatumia swali hili kukazi kwamba ni yeye aletaye chakula kwa kunguru na ya kwamba Ayubu halijui hilo.
|
||
|
|
||
|
# mawindo
|
||
|
|
||
|
mnyama ambaye kunguru humtafuta na anaweza kumla
|
||
|
|
||
|
# kunguru
|
||
|
|
||
|
ndege aina ya kunguru
|
||
|
|
||
|
# wanapomlilia Mungu
|
||
|
|
||
|
"kumlilia Mungu ili kupata msaada" au " kumlilia Mungu ili awaokoe"
|
||
|
|
||
|
# kutangatanga
|
||
|
|
||
|
"kuzunguka zunguka"
|
||
|
|
||
|
# kwa kukosa chakula
|
||
|
|
||
|
"kwasababu hawana chakula" au "kwa kuwa hawana kitu cha kula"
|
||
|
|