forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
589 B
Markdown
25 lines
589 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Elihu anaendelea kuzungumza
|
||
|
|
||
|
# Mungu ambaye humwambia mfalme, ' Wewe ni mbaya; au huwaambia wenye kuheshimiwa, 'Ninyi ni waovu'?
|
||
|
|
||
|
Hii inaendeleza swali kutoka katika mstari uliotangulia.
|
||
|
|
||
|
# mbaya
|
||
|
|
||
|
"mwovu" au "asiyestahili"
|
||
|
|
||
|
# , kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake
|
||
|
|
||
|
Mahali hapa neno "mkono" linamaanisha nguvu.
|
||
|
|
||
|
# wakati wa usiku watu watatikiswa na watapita
|
||
|
|
||
|
"wakati wa usiku" ni wakati wa mwisho wa siku na mwanzo wa siku nyingine.
|
||
|
|
||
|
# watu wenye nguvu watatwaliwa mbali,lakini si kwa mikono ya wanadamu.
|
||
|
|
||
|
"Ni Mungu wala si wanadamu anayewafanya watu wa muhimu wafe.
|
||
|
|