forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
729 B
Markdown
25 lines
729 B
Markdown
|
# Hakika kama Mungu anavyoishi
|
||
|
|
||
|
Hii ni namna ya dhati ya kuweka ahadi. KTN: "Ninaapa kwa Mungu"
|
||
|
|
||
|
# ameniondolea haki yangu
|
||
|
|
||
|
kuindoa haki inamaanisha kukataa kumtendea haki Ayubu
|
||
|
|
||
|
# aliyefanya maisha yangu kuwa machungu
|
||
|
|
||
|
"amesababisha niwe na uchungu" au " amenifanya nikasirike kwa sababu alinitendea kwa namna isiyo nzuri"
|
||
|
|
||
|
# wakati uhai wangu ukiwa ndani yangu
|
||
|
|
||
|
hii inamaana ya maisha yake yote. KTN: wakati wote ambapo uzima wangu ukiwa ndani yangu" au "kwa muda wote ambao uhai wangu bado upo ndani yangu"
|
||
|
|
||
|
# pumzi kutoka kwa Mungu puani mwangu
|
||
|
|
||
|
pumzi puani inawakilisha uwezo wa kupumua, "pumzi kutoka kwa Mungu" inawakilisha kitendo cha Mungu kumfanya aweze kupumua. KTN: "Mungu ananiwezesha kupumua"
|
||
|
|
||
|
# puani
|
||
|
|
||
|
"pua"
|
||
|
|