forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
666 B
Markdown
13 lines
666 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Ayubu anaendelea kuongea
|
||
|
|
||
|
# kwa nini nyakati za kuwahukumu watu waovu hazijapangawa na Mwenyezi?
|
||
|
|
||
|
Ayubu anatumia swali hili kuelezea fadhaa zake kuwa Mungu hajawahukumu waovu. KTN: " Sielewi kwa nini Mungu hajapanga muda ambapo atawahukumu watu waovu." au "Mwenyezi angapnga muda ambapo angewahukumu watu waovu"
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini wale ambao ni waaminifu kwa Mungu huona siku zake za hukumu zikija?
|
||
|
|
||
|
Ayubu anatumia swali hili kuelezea fadhaa zake kuwa wenye haki hawajamwona Mungu akihukumu uovu. KTN: "Inaonekana kuwa wale ambao humtii Mungu hawamwoni akiwahukumu waovu" au "Mungu angeonyesha siku ambapo atawahukumu waovu kwa wale wenye kumjua"
|
||
|
|